Thursday, March 10, 2016

RAIS WA JAMHURI YA KISOSHALISTI YA VIETNAM TRUONG TAN SANG ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, jana. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya faragha ofisini kwake na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, jana. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini
 Waziri wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kanda na Kimataifa Balozi Augustine Mahiga akizungumza na Katibu wa NEC anayeshughulikia Uchumi na Fedha wa CCM, Zakiah Megji wakati wa mazungumzo ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, jana.
 Katibu wa NEC, Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akiwa na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Muhammed Seif Khatibu wakati wa mazungumzo hayo ya Kikwete na Rais wa Vietnam. Kulia Ni Kaim Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Shaka Hamidu Shaka
 Viongozi na Maofisa wa CCM wakiwa kwenye mazungumzo hayo
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, jana. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, jana. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Zakia Meghji na Waziri Mahiga.
  Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, jana. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Zakia Meghji na Waziri Mahiga na kulia ni Dk. Asha-Rose Migiro.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na ujumbe wake katika mazungumzo hayo 

No comments: