Tuesday, March 08, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPA POLE RAIS MSTAAFU.

Waziri Mkuu Majaliwa na mkewe Mary wakimpa pole  Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mkewe Salma (kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwao jijini  Dar es salaam kuhani msiba wa kaka yake Rais Mstaafu Marehemu  Selemani Mrisho Kikwete.
 (Picha n ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...