Tuesday, March 08, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPA POLE RAIS MSTAAFU.

Waziri Mkuu Majaliwa na mkewe Mary wakimpa pole  Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mkewe Salma (kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwao jijini  Dar es salaam kuhani msiba wa kaka yake Rais Mstaafu Marehemu  Selemani Mrisho Kikwete.
 (Picha n ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...