Tuesday, March 08, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPA POLE RAIS MSTAAFU.

Waziri Mkuu Majaliwa na mkewe Mary wakimpa pole  Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mkewe Salma (kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwao jijini  Dar es salaam kuhani msiba wa kaka yake Rais Mstaafu Marehemu  Selemani Mrisho Kikwete.
 (Picha n ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...