Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akitoa maelezo kwa niaba ya
Tanzania kuhusu hali ya wakimbizi nchini katika Mkutano wa 66 wa Kamati ya
Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR)
unaofanyika jijini Geveva nchini Switzerland leo. Katikati ni Mwakilishi wa
Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Geneva, Balozi Modest Mero. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027
Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...

No comments:
Post a Comment