Tuesday, October 06, 2015

WAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KAMATI YA UTENDAJI YA UNHCR JIJINI GENEVA, NCHINI SWITZERLAND




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akitoa maelezo kwa niaba ya Tanzania kuhusu hali ya wakimbizi nchini katika Mkutano wa 66 wa Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) unaofanyika jijini Geveva nchini Switzerland leo. Katikati ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Geneva, Balozi Modest Mero. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.    

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...