Tuesday, October 13, 2015

RAIS KIKWETE APEWA TUZO NA TASWA

unnamednnMwenyekiti wa TASWA Bwana Juma Pinto akimpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutambua mchango wake Mkubwa katika kuendeleza michezo nchini wakati wa hafla maalum ilioandaliwa na TASWA katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Oktoba 12, 2015.

Picha na Freddy Maro

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...