Friday, October 23, 2015

MAMA SAMIA ATUA ZANZIBAR LEO, KUUNGURUMA KIBANDAMAITI NA DK. SHEIN JIONI HII

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo, kwa ajili ya mkutano wa kampeni utakaofanyika jioni hii kwenye Viwanja vya Demokrasia au Kibanda maiti.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mume wake, Hafidh Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai Ali Vuai.
 Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mjukuu wake, Hamiar Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tikei ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii wa Bongo Movie alioko katika kundi la kampeni za CCM la ‘Mama Ongea na Mwanao’ Wema Sepetu alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo
Baadhi ya viongozi wa CCM wakisubiri kwa hamu kusalimiana na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia baadhi ya viongozi alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia baadhi ya wasanii wa Bongo Movie alipowasili Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar Vuai Ali Vuai (Kushoto), baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo

No comments: