Wednesday, October 14, 2015

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI MKOANI KAGERA LEO, AWANADI KAGASHEKI NA MWIJAGE



Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipozunguza na waliposimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Chato kwa tiketi ya CCM, Dk. Karineli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo.
Mkuu wa mkoa wa Kagera, John Mongela akijadili jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Bukoba Mjini Balozi Hamis Kagasheki wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo.
Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera, Charles Mwijage akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo


Wananchi Buseresere
Mwana mama akiwa kazini wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan aliposimamishwa na wananchi katika eneo la Buseresere mkoai Geita leo
Wananchi wakitazama msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, ulipopita eneo la  Chato mkoani Kagera, huku wakiwa karibu na bango la shule inayotumia jina a Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasalimia katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipowahutubia waliposimamisha msafara wake katika eneo la Chato mkoani Geita leo
Wananchi wakimshangilia Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan alipowahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Chato mkoani Geita leo
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama samia suluhu Hassan ukiendelea na safari kwenda Muleba mkoani Kagera leo
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama samia suluhu Hassan ukiendelea na safari kwenda Muleba mkoani Kagera leo
Mama akiwa na mwanae wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera leo
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika jimbo la Muleba Kaskazini.
  Bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Jihn Magufuli katika mkutano wa kampeni jimbo la Muleba Kaskazini likiwa limeinuliwa kumfikishia ujumbe Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan.
Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa kampeni jimbo la Muleba Kaskaskazini
Kazi na dawa!
Mtoto akimfuata mwenzake kumnyang'anyana kijibendera cha CCM, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera leo
Kisha wakanyang'anyana kama hivi

No comments: