Tuesday, October 06, 2015

KAMPUNI YA TIGO YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

1
 Msimamizi mkuu wa Duka la Tigo Makumbusho, Gissela Akaro akimkabidhi mteja waTigo, Gideon Mapunda mkazi wa Mbezi Luis fulana ikiwa sehemu ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja.
4
3
Mtaa lamwa huduma kwa wateja wa Tigo Jackson Jerr ya kiongea na wafanyakazi na wateja waTigo mara baada ya ufunguzi waduka la Tigo lililokarabatiwa makao makuu yaTigo Makumbusho ikiwa sehemu ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja.
6
Mtoa huduma ya ufundi wa Intaneti yaTigo, Gloria Minja akitoa huduma kwa wateja katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja.
5   2
7
Sehemu ya wateja waTigo wa kipata huduma.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...