Thursday, October 29, 2015

BREAKING NEWSSS:DK. JOHN POMBE MAGUFULI NDIYE RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

John Magufuli addresses delegates after the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) elected him as the presidential candidate for the October 25 election in the capital Dodoma, July 12, 2015. REUTERS/Stringer

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848 sawa na asilimia 39.97.
????????????????????????????????????

No comments: