Wednesday, October 14, 2015

LOWASSA AFANYA KAMPENI MKOANI GEITA




Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwahutubia wananchi wa Mji wa Geita, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Magereza, Mkoani Geita jana Oktoba 13, 2015.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...