Wednesday, October 14, 2015

RAIS KIKWETE APOKEA MWENGE WA UHURU MJINI DODOMA

 unnamedBunnamedN

unnamed.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Juma Khatib Chum akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mwenge wa uhuru wakati  wa sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 14, 2015.
(Picha na Freddy Maro) 

No comments: