Monday, October 12, 2015

MKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI

 RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa( katikati) akiwa ameongozana na Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (wa kwanza kulia),  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau,  Meneja Miradi wa Shirika hilo Muhandisi John Msemo (watatu kushoto) alipotembelea mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni kwa mualiko maalum kutoka NSSF mwishoni mwa wiki. Wengine ni maafisa wa serikali na NSSF.
 RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa( katikati) akipokea maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka kwa Meneja Miradi wa shirika hilo Muhandisi John Msemo (kulia kwake) alipotembelea ujenzi huo kwa mualiko maalum kutoka NSSF.





 Muonekano wa Daraja kwa sasa.

No comments: