Thursday, October 01, 2015

WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA MASUALA YA KODI

 Meneja wa Kampuni ya Business Connexion Tanzania Limited Ebenezer Massawe akitoa mafunzo juu ya kupata taarifa ya vyanzo vya mapato  kwa waandishi wahabari  wakati wa  semina iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa habari za kodi Tanzania  (TAWNET jijini Dar es Salaam. Kwa udhamini wa Vodacom Tanzania. 
 Afisa Mwandamizi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Hamisi Lupenja,akifafanua jambo  kwa waandishi wahabari (hawapo pichani ) wakati wa semina iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa habari za kodi Tanzania  (TAWNET ) jijini Dar es Salaam. Warsha hiyo ilidhamini wa Vodacom Tanzania na  Business Connexion Tanzania Limited.Kulia ni Rose Mahendeka ,Afisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) 
 Afisa  kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Rose Mahendeka, akifafanua jambo    kwa waandishi wa habari wakati wa warsha iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa habari za kodi Tanzania  (TAWNET jijini Dar es Salaam. Warsha hiyo ilidhamini wa Vodacom Tanzania.

No comments:

WAZIRI MKUU ALIPONGEZA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM

_Ni baada ya kuongeza thamani na kufikia shilingi trilioni 21, Julai 2025_ _Pamoja na kuongeza ukuaji wa hisa kwa zaidi ya asilimia 246_ _As...