Wednesday, November 04, 2015

MV.MAGOGONI YAPATA HITILAFU YA KIUFUNDI

 Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki baada kwa wingi wa watu
 Wakishuka wananchi
  Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
  Wananchi wakiwa katika mshangao
 
 MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inshusha upande wa Kigamboni
Taswira katika muonekano wa  MV. Magogoni  na MV. Kigamboni

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...