Wednesday, November 04, 2015

MV.MAGOGONI YAPATA HITILAFU YA KIUFUNDI

 Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki baada kwa wingi wa watu
 Wakishuka wananchi
  Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
  Wananchi wakiwa katika mshangao
 
 MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inshusha upande wa Kigamboni
Taswira katika muonekano wa  MV. Magogoni  na MV. Kigamboni

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...