Tuesday, November 17, 2015

VIJANA NCHINI KUENDELEA KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA KUKUZA AJIRA ZENYE STAHA DAR ES SALAAM (YEID)

z2
Afisa mwelekezi wa wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es Salaam,kupitia Elimu ya Biashara na Ujasiriamali. Bi. Emiliana Muchu akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya program hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Picha na Frank Shija, WHVUM
z3
Meneja wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es Salaam Bibi. Maria Fustiniano ( wapili kutoka kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano wa kamati ya wadau wa program hiyo uliofanyika mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam.
z4
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya True Maisha Bw. Erick Crispin akiwasilisha mada namna taasisi yake inavyofanya shughuli zake katika kutoa mafunzo kwa Vijana hivi karibuni jijini Dar es Salaam

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...