Wednesday, November 18, 2015

WABUNGE WAKILA KIAPO MJINI DODOMA LEO

mw1
Mbunge wa Viti Maalum CCM Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw2
Mbunge wa Jimbo la Kawe Mh. Halima James Mdee akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw3
Mbunge wa Vunjo Mh.James Francis Mbatia akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw4
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mh.Jumanne Abdallah Maghembe akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw5
Mbunge wa Handeni Vijijini Mh. Mboni Mohamed Mhita akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
mw6
Mbunge wa Viti Maalum CCM Neema Mgaya akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...