Monday, November 16, 2015

DKT REGINALD MENGI KUISADIA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC


Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akiwa ameongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Geleard Masenga wakati alipowasili katika ofisi ya Mkurugenzi  huyo mwishoni mwa wiki. 

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akisalimiana na Askofu mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria (KKKT) Tanzania ,Dkt Fredrick Shoo alipowasili katika ofisi ya Mkurugenzi wa hosptali ya rufaa ya KCMC .(kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hopstali hiyo,Dkt Gileard Masenga.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akiteta jambo na Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria (KKKT) Tanzania ,Dkt Fredrick Shoo .
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akipeana mikono na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC ,Dkt Gileard Masenga mara baada ya kutamburishwa kuwa ndiye mtendaji mkuu wa hospitali hiyo kwa sasa.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akizungumza jambo mara baada ya utamburisho wa mkurugenzi huyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hopstali ya Rufaa ya KCMC ,Dkt Gileard Masenga akizungumza jambo mbele ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi (hayupo pichani).
Dkt Mengi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC.
Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga akizungumza kuhusu ujenzi wa ngazi kuu za kungilia wodini katika hosptali ya Rufaa ya KCMC ambazo ujenzi wake uligharimu kiasi cha sh Mil 30 ,Fedha ambazo zilitolewa na Dkt Mengi.
Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria ,(KKKT) Dkt Freedrick Shoo akimkabidhi Dkt Mengi taarifa ya Hosptali hiyo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa ngazi kuu za kuingilia wodini katika hosptali ya rufaa ya KCMC ,ujenzi uliofadhiliwa na Dkt Mengi.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa matumizi ya ngazi kuu za kuingilia wodini katika hospitali hiyo.
Baadhi ya wananchi walioshuhudia tukio hilo.

No comments: