Tuesday, November 17, 2015

DK. THOMAS KASHILILA- ATANGAZA WAGOMBEA WA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 2015

01
Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila (katikati) akitangaza wagombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 ambapo kwa mujibu wa Dr. Kashilila wagombea hao ni kutoka vyama nane vya siasa,Kushoto ni John Joel Naibu Katibu Mkuu wa Bunge na kulia ni Nenelwa Mwihambi Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge.
02
Jinsi wabunge watavyokaa kuanzia kesho wakati wa Bunge la 11 litakapoanza

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...