Tuesday, November 17, 2015

DK. THOMAS KASHILILA- ATANGAZA WAGOMBEA WA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 2015

01
Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila (katikati) akitangaza wagombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 ambapo kwa mujibu wa Dr. Kashilila wagombea hao ni kutoka vyama nane vya siasa,Kushoto ni John Joel Naibu Katibu Mkuu wa Bunge na kulia ni Nenelwa Mwihambi Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge.
02
Jinsi wabunge watavyokaa kuanzia kesho wakati wa Bunge la 11 litakapoanza

No comments:

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...