Thursday, November 19, 2015

DK TULIA ACKSON MWANSASU AIBUKA MSHINDI WA KITI CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE

Dk Tulia  Ackson Mwansasu ameibuka mshindi wa kiti cha Naibu Spika wa Bunge kwa kupata kura 250 sawa na asilimia 71.2% ya kura zote 351 zilizopigwa.
Mh. Magdalena Sakaya amepata kura 101 sawa na asilimia 28.8 ya kura zote zilizopigwa.
Hakuna kura iliyoharibika

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...