Thursday, November 19, 2015

DK TULIA ACKSON MWANSASU AIBUKA MSHINDI WA KITI CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE

Dk Tulia  Ackson Mwansasu ameibuka mshindi wa kiti cha Naibu Spika wa Bunge kwa kupata kura 250 sawa na asilimia 71.2% ya kura zote 351 zilizopigwa.
Mh. Magdalena Sakaya amepata kura 101 sawa na asilimia 28.8 ya kura zote zilizopigwa.
Hakuna kura iliyoharibika

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...