Thursday, November 12, 2015

RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE AMKABIDHI RASMI OFISI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI


Rais Mstaafu awamu ya nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi nyaraka kama ishara ya kukabidhi rasmi ofisi kwa Rais Mpya awamu ya tano Dkt.JohnPombe Magufuli wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.
20
30
Rais Dkt.John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu awamu ya NNe Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mh.Samia Hassani Suluhu na katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue muda mfupi baada ya Rais Mstaafu Kikwete kumkabidhi rasmi ofisi Rais Dkt.John Pombe Magufuli ikulu jijini Dar es Salaam leo.
(Picha na Freddy Maro)

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...