Ofisa msaidizi wa Programu kutoka Forum CC Jonathan Sawaya akizungumzia kuhusu mkutano mkubwa wa mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika Ufaransa.
Evelina Mageni ambaye ni Rais wa wakulima wanawake vijijini na alikuwa mshiriki wa shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015 akizungumza umuhimu wa wakulima kushirikishwa katika kutunga sera, utunzaji wa ardhi kwa ajili ya kilimo.
No comments:
Post a Comment