Friday, November 06, 2015

SERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiwaonesha waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambayo itakuwa ikitumika katika ofisi za Serikali na Binafsi ambayo inapatikana Idara ya Habari (MAELEZO) kwa gharama ya Shilingi 15,000/

No comments:

RAIS SAMIA AGAWA MITUNGI YA GESI NA KUVAA VAZI LA MAMA NA BABA LISHE KUHAMASISHA NISHATI SAFI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendeleza dhamira ya Serikali ya kusukuma mbele ajenda ya nishati ...