Wednesday, November 18, 2015

NDUGAI ALIPOAUKWAA USPIKA WA BUNGE JANA

nd1
Spika wa Bunge la Kumi na Moja la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai akiongoza kikao cha kwanza cha Bunge hilo jana mara baada ya kuchaguliwa na wabunge.
nd2
Mgombea wa Uspika wa Bunge la Jamhuri kutoka Chama cha Wakulima Tanzania Peter Leonard Sarungi akiomba kura kwa wabunge.
nd3
Mgombea wa Uspika kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Goodluck le Medeye akiomba kura kwa wabunge
nd4
Watumishi wa Bunge wakionesha masanduku matupu ya kura za Spika
nd5
Baadhi ya watumishi wa Bunge wakigawa karatasi za kupigia kura ya Spika kwa wabunge.
nd7
Baadhi ya wabunge wakipiga kura ya Spika
nd10
Spika Mteule wa Bunge Job Ndugai akiongozwa na askari wa Bunge baada ya kutangazwa Mshindi na Mwenyekiti wa Bunge wa Muda Andrew Chenge baada ya kupata kura 254.
nd11
Mbunge Andrew Chenge akila kiapo cha Uaminifu cha Ubunge
nd12
Mbunge Richard Ndassa akila kiapo
nd13
Mbunge Mary Nagu akila kiapo
nd14
Mbunge wa Kuteuliwa Dkt. Tulia Ackson akila kiapo
nd15
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Upendo Peneza akila kiapo 
Picha zote na Hussein Makame

No comments: