Friday, November 06, 2015

MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA- UTPC MJINI MOROGORO


Hapa ni katika ukumbi wa Flomi Hotel mjini Morogoro ambako leo Ijumaa Novemba 06,2015 kunafanyika mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania-UTPC wanakutana kujadili mambo mbali mbali ili kuboresha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania.Mkutano huo wa siku mbili unakutanisha wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari Tanzania,makatibu na waweka hazina.Katika mkutano huo pia utafanyika uchaguzi wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi wa UTPC-Fuatilia picha hapa chini kinachoendelea ukumbini-Picha zote na Kadama Malunde na Shomari Binda-Malunde1 blog.

Kushoto ni mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan,akifuatiwa na makamu wa rais UPC Jane Mihanji,rais wa UTPC Kenneth Simbaya na mwenyekiti wa kamati ya maadili UTPC Deo Nsogolo

Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akiwasalimia wajumbe wa mkutano huo.

Kauli mbiu ya mkutano huo ni "Tumia Klabu za waandishi wa habari kwa maendeleo ya mkoa wako"


Mkutano unaendelea

Rais wa UTPC anayemaliza muda wake Kenneth Simbaya akifungua mkutano.

Wajumbe wa mkutano wakiwa ukumbini.

Mkutano unaendelea.

Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akizungumza ukumbini.

Mkutano unaendelea.

Rais wa UTPC Kenneth Simbaya akikabidhi hati ya usajili ya Katavi Press Club kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Walter Mguluchuma.

Wajumbe wakiwa ukumbini.

Mkutano unaendelea.

Wajumbe wakiwa ukumbini.

Mkutano unaendelea

Tunafuatilia kinachoendelea......

Wajumbe wa mkutano wakiwa ukumbini

Mkutano unaendelea

Mkutano unaendelea.

mkutano unaendelea

Wajumbe wakiwa ukumbini

Mkutano unaendelea

Tunafuatilia kinachojiri ukumbini


Mkutano unaendelea

Mkutano unaendelea


Mkutano unaendelea

Picha zote na Kadama Malunde na Shomari Binda-Malunde1 blog

No comments: