Monday, August 17, 2015

JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KWENYE OFISI ZA LUMUMBA LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu maalum kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama ,Ofisi Ndogo Lumumba,kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakatiwa na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakati wa kikao hicho.Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana wakipitia baadhi ya ajenda kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa taarifa za mahudhurio ya kikao kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika kwenye ofisi za CCM Lumumba, jijini Dar es Salaam. Wajumbe wa Kamati Kuu wakipitia makabrasha yenye ajenda za kikao muda mfupi kabla kikao hakijaanza BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments: