Tuesday, August 25, 2015

VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA


 Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla ya Uzinduzi  wa makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram (Moneygram M-Pesa)ambayo itawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kutuma fedha na kuingia moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini.Uzinduzi huo ulifanyika jijini leo Dar es Salaam.
003.Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Kitaifa wa Benki kuu ya Tanzania(BoT)Bernard Dadi(katikati) na Makamu wa Rais wa Moneygram Afrika,Herve Chomel(kulia)wakimshuhudia Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt(kushoto)akisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram(Monegram M-Pesa)ambayo itawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kwa kutuma fedha na kupokea  moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini, Uzinduzi huo ulifanyika jijini leo Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Kitaifa wa Benki kuu ya Tanzania(BoT)Bernard Dadi(katikati) akiwashuhudia Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt(kushoto) na Makamu wa Rais wa Moneygram Afrika,Herve Chomel(kulia)wakipongezana mara baada ya kusaini  mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa  kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram(Moneygram M-Pesa)ambayo yatawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kwa kutuma fedha na kupokea  moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini, Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Moneygram Afrika,Herve Chomel(kushoto) na Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt,wakiteta jambo wakati  wa hafla ya Uzinduzi  wa makubaliano yaushirikiano wa  kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram (Moneygram M-Pesa)ambayo itawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kutuma fedha na kuingia moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini.Uzinduzi huo ulifanyika jijini leo Dar es Salaam.

  Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Kitaifa wa Benki kuu ya Tanzania(BoT)Bernard Dadi(kulia) akijibu maswali kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa ushirikiano wa kutoa huduma ya za kutuma na kupokea fedha kupitia njia ya M-pesa na Moneygram(Monegram M-Pesa)kati ya Vodacom Tanzania na  Moneygram huduma hizo zitawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kwa kutuma fedha na kupokea  moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini, Uzinduzi huo ulifanyika jijini leo Dar es Salaam. ,Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa Moneygram Afrika,Herve Chomel na  Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt.

Makubaliano mapya yanawawezesha wateja kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti za M-Pesa nchini Tanzania.

DAR ES SALAAM (Agosti 25, 2015) —Kampuni ya MoneyGram inayotoa huduma za kutuma pesa duniani na kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania zimetangaza kwamba wateja wa Vodacom sasa wanaweza kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti zao za M-Pesa. Kwa sasa, kuna watumiaji wa huduma ya M-Pesa zaidi ya milioni saba nchini Tanzania ambao hufanya miamala ya zaidi ya trilioni mbili kila mwezi.

No comments: