Friday, August 28, 2015

MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA


 Picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini Arusha
Iliovaa bluu ikiwa inacheza na wachezaji wa timu ya Tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu klabu Bingwa Taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya mchezo wa wavu ya Tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya pentagoni seti 3-1.
 wachezaji wa timu ya pentagoni wakiwa wanamsikiliza mwalimu.




No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...