Friday, August 28, 2015

MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA


 Picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini Arusha
Iliovaa bluu ikiwa inacheza na wachezaji wa timu ya Tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu klabu Bingwa Taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya mchezo wa wavu ya Tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya pentagoni seti 3-1.
 wachezaji wa timu ya pentagoni wakiwa wanamsikiliza mwalimu.




No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...