Friday, August 28, 2015

MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA


 Picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini Arusha
Iliovaa bluu ikiwa inacheza na wachezaji wa timu ya Tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu klabu Bingwa Taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya mchezo wa wavu ya Tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya pentagoni seti 3-1.
 wachezaji wa timu ya pentagoni wakiwa wanamsikiliza mwalimu.




No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...