Tuesday, August 25, 2015

AFRIKA KUSINI YAVUTIWA KUWEKEZA KWENYE NISHATI NCHINI

 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akizungumza na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo, Agosti 24, 2015 ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo Agosti 24, 2015 mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akimkaribisha Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku. Balozi Mseleku alimtembelea Waziri Simbachawene mapema leo (Agosti 24), ofisini kwake na kufanya nae mazungumzo.
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku (katikati) akimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene (Kulia), alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam mapema leo, Agosti 24, 2015 na kufanya naye mazungumzo. Kushoto ni Afisa kutoka Ubalozi wa Afrika Kusini nchini, aliyeambatana na Balozi Mseleku, Bi Patiwe Mokoena.

No comments: