Tuesday, August 25, 2015

AFRIKA KUSINI YAVUTIWA KUWEKEZA KWENYE NISHATI NCHINI

 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akizungumza na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo, Agosti 24, 2015 ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo Agosti 24, 2015 mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akimkaribisha Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku. Balozi Mseleku alimtembelea Waziri Simbachawene mapema leo (Agosti 24), ofisini kwake na kufanya nae mazungumzo.
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku (katikati) akimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene (Kulia), alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam mapema leo, Agosti 24, 2015 na kufanya naye mazungumzo. Kushoto ni Afisa kutoka Ubalozi wa Afrika Kusini nchini, aliyeambatana na Balozi Mseleku, Bi Patiwe Mokoena.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...