Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Mhe.Alpha Oumar Konare ambaye ni msuluhishi wa Umoja wa Afrika(AU) katika mgogoro wa Sudan ya Kusini ikulu jijini Dar es Salaam jana.Mbali na majadiliano yaliyohusu vita vya wenyewe kwa wenyewe katika taifa changa la Sudan ya Kusini Bwana Konare ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Mali(1992-2002) na mwenyekiti mstaafu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika alimweleza Rais Kikwete umuhimu wa kutumia Kiswahili katika mikutano ya Umoja wa Afrika.(picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment