Friday, August 28, 2015

NHC YATILIANA SAINI YA MAKUBALIANO YA MIKOPO YA NYUMBA NA BENKI NNE ZA HAPA NCHINI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akizungumza katika hafla ya utiaji saini iliyofanyika Hyatt Regency, The Kilimanjaro Hotel, Dar-es-Salaam leo asubuhi. Leo NHC imetiliana rasmi  saini na benki na taasisi za Diamond Trust Bank Tanzania Limited, Equity Bank Tanzania Limited, First National Bank Tanzania Limited, International Commercial Bank Tanzania Limited.  
Tayari NHC inafanya kazi na benki kumi na mbili ambazo ni Azania Bank, Bank of Africa, Bank ABC, Commercial Bank of Africa, CRDB Bank, Dar es Salaam Community Bank, Exim Bank, KCB Bank, National Bank of Commerce, NIC Bank, National Microfinance Bank na Stanbic Bank. PICHA ZOTE ZA KITENGO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA JAMII CHA NHC.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akizungumza katika hafla ya utiaji saini iliyofanyika Hyatt Regency, The Kilimanjaro Hotel, Dar-es-Salaam leo asubuhi. Leo NHC imetiliana rasmi  saini na benki na taasisi za Diamond Trust Bank Tanzania Limited, Equity Bank Tanzania Limited, First National Bank Tanzania Limited, International Commercial Bank Tanzania Limited.  
Tayari NHC inafanya kazi na benki kumi na mbili ambazo ni Azania Bank, Bank of Africa, Bank ABC, Commercial Bank of Africa, CRDB Bank, Dar es Salaam Community Bank, Exim Bank, KCB Bank, National Bank of Commerce, NIC Bank, National Microfinance Bank na Stanbic Bank.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mikopo ya nyumba ya Tanzania Mortgage Refinance (TMRC), Oscar Mgaya akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya NHC na mabenki manne iliyofanyika Hyatt Regency, The Kilimanjaro Hotel, Dar-es-Salaam leo asubuhi.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Felix Maagi pamoja na Mwakilishi wa benki ya Diamond Trust Bank Tanzania Limited wakitiliana saini ya makubaliano kuwezesha kutoa mikopo ya Nyumba kwa wananchi hapa nchini.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Felix Maagi akipena mkono na Mwakilishi wa benki ya Diamond Trust Bank Tanzania Limited mara baada ya kutiliana saini ya makubaliano.hayo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa , Felix Maagi pamoja na Meneja Mkuu wa Mikopo wa Equity Bank wakitiliana saini ya makubaliano kuwezesha kutoa mikopo ya Nyumba kwa wananchi hapa nchini.

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Tanzania,Felix Maagi akipena mkono na Meneja Mkuu wa Mikopo wa Equity Bank mara baada ya kutiliana saini ya makubaliano hayo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi pamoja na Mkuu Huduma za Wateja wa Benki ya First National Bank Tanzania Limited, Francois Bank wakitiliana saini ya makubaliano kuwezesha kutoa mikopo ya Nyumba kwa wananchi hapa nchini.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Tanzania,Felix Maagi akipena mkono na Mkuu Huduma za Wateja wa Benki ya First National Bank Tanzania Limited, Francois Bank mara baada ya kutiliana saini ya makubaliano hayo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi pamoja na Mwakilishi wa International Commercial Bank Tanzania Limited wakitiliana saini ya makubaliano kuwezesha kutoa mikopo ya Nyumba kwa wananchi hapa nchini.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akipena mkono na Mwakilishi wa International Commercial Bank Tanzania Limited mara baada ya kutiliana saini ya makubaliano hayo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa benki nne zilizoingia mkataba na NHC.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa benki nne zilizoingia mkataba na NHC.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Tanzania,Felix Maagi akijadiliana jambo na Mkuu Huduma za Wateja wa Benki ya First National Bank Tanzania Limited, Francois Bank kabla ya kutiliana saini ya makubaliano hayo.

Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia utiaji saini huo uliofanyika leo asubuhi jijini Dar es Salaam.

No comments: