Tuesday, August 25, 2015

MAMA SAMIA AITEKA ROMBO NA VUNJO

1
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo, Agosti 25, 2015, katika mji mdogo wa Tarakea,  jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro.
(Picha na Bashir Nkoromo).
6
Samia akimsikiliza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Vunjo,Innocent Meleck, katik mkutano wa ahadhara wa Vunjo.
245
Samia akiwajula hali kina mama waliojifungua katika hospitali ya Huruma, Rombo mkoani Kilimanjaro.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...