Tuesday, August 25, 2015

MAMA SAMIA AITEKA ROMBO NA VUNJO

1
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo, Agosti 25, 2015, katika mji mdogo wa Tarakea,  jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro.
(Picha na Bashir Nkoromo).
6
Samia akimsikiliza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Vunjo,Innocent Meleck, katik mkutano wa ahadhara wa Vunjo.
245
Samia akiwajula hali kina mama waliojifungua katika hospitali ya Huruma, Rombo mkoani Kilimanjaro.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...