Tuesday, August 25, 2015

MAMA SAMIA AITEKA ROMBO NA VUNJO

1
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo, Agosti 25, 2015, katika mji mdogo wa Tarakea,  jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro.
(Picha na Bashir Nkoromo).
6
Samia akimsikiliza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Vunjo,Innocent Meleck, katik mkutano wa ahadhara wa Vunjo.
245
Samia akiwajula hali kina mama waliojifungua katika hospitali ya Huruma, Rombo mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awasili Marekani kwa Kikao cha UNGA 80

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , leo tarehe 21 Septemba 2025 amewasili jijini New York, Marekani . ...