Friday, August 21, 2015

NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.
  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano uliofanyika Majengo .
  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na
wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa
kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa
kura za maoni.
 Wananchi wa Jimbo la Mtama wakishangilia kabla ya mkutano kuanza.
 Wananchi wa Kata ya Majengo ,Mtama wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza mbunge wao mtarajiwa Nape Nnauye .
 Mbunge wa Mchinga Mhe.Said Mtanda akihutubia kwenye mkutano wa hadhara wa kushukuru wananchi waliompigia Katibu Mwenezi wa CCM Taifa ,Nape Nnauye uliofanyika Majengo Mtama.
 Wanancnhi wakimsindikiza Nape Nnauye kwenda jukwaani kuhutubia.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Majengo, Mtama na kuwaeleza atakuwa Mbunge wa mfano kwa kutekeleza kila alichoahidi na kuwa karibu na wananchi muda wote.
 Wananchi wakimsikiliza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndie mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM.
Mkutano huo uliofanyika sokoni Majengo ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndie mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akisisitiza jambo kwenye mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wake.
 Mmoja wa wagombea waliokuwa wanagombea nafasi ya kuiwakilisha Mtama bungeni akiwasalimu wananchi na kuwahakikishia kuwa atashirikiana na Ndugu Nape Nnauye katika kufanikisha ushindi wa CCM.
 Mgombea Diwani wa kata ya Mnara Bi.Halima R. Mwambe akiwasalim wananchi kwenye mkutano huo.
 Wananchi wakifuatilia kwa makini hotuba za shukrani.
Kikundi cha kwaya cha Majengo kikitumbuiza.

No comments: