Saturday, August 29, 2015

RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BWANA CHARLES KIZIGHA

KIZ1

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mwandishi wa habari Mkongwe wa magazeti ya Serikali ya Daily News na Sunday News Bwana Charles Kizigha nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam jana jioni.Aliyesimama kulia ni mtoto wa mwandishi huyo wa habari Mhe.Angela Kizigha ambaye ni Mbunge wa Afrika Mashariki.Rais Kikwete alimtembelea Bwana Kizigha nyumbani kwake baada ya kupata taarifa kuwa ni mgonjwa(picha na Freddy Maro) 

KIZ2KIZ4

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...