Sunday, August 23, 2015

WANACHAMA WA CHADEMA ZAIDI YA 500 LUDEWA WAHAMIA ACT WAZALENDO ,WACHUKIZWA NA LOWASA KUPOKELEWA CHADEMA NA KUKATWA KWA MSHINDI WA KURA ZA MAONI

New Picture
Wanachama wa Chadema wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe wakiandamana kupinga maamuzi ya chama hicho kukata jina la mshindi wa kura za maoni na kumteua aliyeshindwa ,mbali ya kuandamana pia wanachama hao zaidi ya 500 walikihama chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo.
New Picture (9)
Wanachadema wakiwa nje ya ofisi ya chama wilaya walikokwenda kurudisha kadi kabla ya kuhamia ACT wazalendo.
New Picture (3)
Wanachadema wakiwa nje ya ofisi ya ACT Wazalendo ambako walifika kuomba kujiunga huko.
New Picture (10)
Wanachadema wakirudisha kadi za chamna hicho na kujiunga na ACT wazalendo.
New Picture (11)
Kadi zikiwa zimekusanywa kwa kuchomwa moto.
New Picture (12)
Hivi ndivyo kadi zinavyoteketezwa kwa moto baada ya wana Chadema kujiengua na chama hicho na kujiunga na ACT wazalendo.
New Picture (2)  

No comments: