Monday, August 24, 2015

ASKOFU MALASUSA AZINDUA HARAMBEE KANISA LA KKKT MBEZI BEACH

 Wazee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach wakifuatilia ibada hiyo iliyofanyika katika kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Katibu wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Nehemia Kyando Mchechu akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu. Harambee hiyo ilizinduliwa Rasmi na Askofu Mkuu wa KKKT Dk Alex Gehaz Malasusa.
Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.

















No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...