Monday, August 24, 2015

ASKOFU MALASUSA AZINDUA HARAMBEE KANISA LA KKKT MBEZI BEACH

 Wazee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach wakifuatilia ibada hiyo iliyofanyika katika kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Katibu wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Nehemia Kyando Mchechu akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu. Harambee hiyo ilizinduliwa Rasmi na Askofu Mkuu wa KKKT Dk Alex Gehaz Malasusa.
Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.

















No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...