Saturday, August 29, 2015

DK, FAUSTINE NDUGULILE AKIHUTUBIA MKUTANO VIJIBWENI

  Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) DK.Faustine Ndugulile akihutubia Mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Mzimu Kata Vijibweni Kigamboni Dar es Sallam (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA).
 Wananchi wakifurahia alipokuwa akipanda jukwaani Mgombe ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DK.Faustine Ndugulile
 Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mgombea
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke na Mjumbe Halmashauri kuu Mkoa, Yahaya Sikunjema  (kulia) akimkabidhi Ilani ya Chama hicho Mgombea nafasi ya Udiwani kupitia Chama hicho   Zacharia Mkundi  katika mkutano wa kampeni ulio fanyika Kata ya Vijibweni Dar es Sallam

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...