Thursday, August 27, 2015

MKUTANO WA BAWACHA UKAWA MILLENIUM TOWER








Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amezungumza na kina mama hao akiwataka kutumia haki yao ya kikatiba kumchagua mgombea wa UKAWA , Edward Ngoyai Lowassa awe rais, ametoa zawadi kuanzia sasa salamu itakuwa LOWASSA MABADILIKO, MABADILIKO LOWASSA na kwamba mkutano wa uzinduzi wa kampeni wa UKAWA viwanja vya Jangwani upo palepale na vibali vyote vimepatikana.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...