Thursday, August 27, 2015

MKUTANO WA BAWACHA UKAWA MILLENIUM TOWER








Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amezungumza na kina mama hao akiwataka kutumia haki yao ya kikatiba kumchagua mgombea wa UKAWA , Edward Ngoyai Lowassa awe rais, ametoa zawadi kuanzia sasa salamu itakuwa LOWASSA MABADILIKO, MABADILIKO LOWASSA na kwamba mkutano wa uzinduzi wa kampeni wa UKAWA viwanja vya Jangwani upo palepale na vibali vyote vimepatikana.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...