Saturday, August 15, 2015

LAPF YAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA MANISPAA YA KINONDONI


 Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Manispaa ya Kinondoni. Vifaa vilivyotolewa na mfuko huo ni jezi seti 30, mipira 30 pamoja na viatu jozi 30. (Na Mpiga Picha Wetu)
Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule (kushoto), akimkabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 5 mjumbe wa bodi ya timu ya Manispaa ya Kinondoni, Abbas Tarimba. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya timu hiyo, Yusuph Mwenda zilizotolewa na mfuko huo kwa ajili ya timu hiyo. 
Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi jezi Mwenyekiti wa Bodi ya timu soka ya Kinondoni, Yusuph Mwenda zilizotolewa na mfuko huo kwa ajili ya timu hiyo. Wanaoshuhudia ni wajumbe wa Bodi ya timu hiyo, Abbas Tarimba (kulia) na Mtemi Ramadhani (wa pili kushoto).

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...