Mhe Balozi Liberata Mulamula akitoa pasi yake ya kusafiria kwaajili ya kujisajili tayari kwa kuondoka.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa katika hatua za mwisho za usajili.
Mhe Balozi Liberata Mulamula tayari usajili ulipokamilika
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Ubalozi pamoja na familia zao.
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula akiwa tayari anajiandaa kwa ukaguzi wa mwisho na kuelekea kwenye ndege.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI.
No comments:
Post a Comment