Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa Wajumbe nchi hiyo waliokuja kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na kwenda kutekeleza katika nchi yao hafla hiyo imefanyika katika ofisi za Makao Makuu leo jijini Dar es Salaam.
Afisa wa uanachama wa NHIF,Twahiru Hauke akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akipewa maelezo na Msimamizi wa Mifumo ya Komputa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jinsi ya kuhifadhi nyaraka za wananchama wa NHIF walipotembelea leo ofisi za Makao Mkuu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.4
Mkurugenzi wa Masoko wa NHIF ,Rehan Athuman akizungumza na waandishi wa habari juu ya ugeni waliopokea kutoka nchini Siara leone leo katika ofisi za Makao Makuu ya NHIF jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba akizungumza na waandishi wa habari juu ziara ya kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF walipofika katika Makao Makuu ya leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)
No comments:
Post a Comment