Thursday, July 30, 2015

LOWASSA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA LEO

unnamed (1)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiwasili katika makao makuu ya ofisi za CHADEMA tayari kwa kuchukua fomu za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia chama hichi leo jijini Dar es salaam.
unnamed (3)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiwapungia mkikono wananchi kwenye makao makuu ya CHADEMA.
unnamed (4)unnamed (5)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiingia katika ofisi za makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho.

No comments: