Thursday, July 30, 2015

LOWASSA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA LEO

unnamed (1)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiwasili katika makao makuu ya ofisi za CHADEMA tayari kwa kuchukua fomu za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia chama hichi leo jijini Dar es salaam.
unnamed (3)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiwapungia mkikono wananchi kwenye makao makuu ya CHADEMA.
unnamed (4)unnamed (5)
Edwald Lowasa Waziri mkuu wa Zamani aliyejiunga na Chama cha CHADEMA hivi karibuni akiingia katika ofisi za makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho.

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...