Monday, July 27, 2015

CHAMA CHA UKOMBOZI WA UMMA (CHAUMMA) CHAMTANGAZA MGOMBEA KITI CHA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CHAMA HICHO.

????????????????????????????????????Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Zanzibar (CHAUMMA) Faki Salum Abdalla akitoa salamu za Chama hicho wakati wa Mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) wa kumtambulisha Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.
????????????????????????????????????Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza mgombea nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia CHAUMMA katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.
????????????????????????????????????Katibu Mkuu wa CHAUMMA Ali Omar Juma akitowa wasfu wa mgombea nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.
????????????????????????????????????Mgombea Kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma  (CHAUMMA) Mohd Masoud Rashid akijitambulisha na kueleza sera zake mbele ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye Ulemavu  Kikwajuni, Mjini Zanzibar. (kulia) mgombea mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho Issa Abass na (kushoto) Katibu Mkuu Ali Omar Juma.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar

No comments: