Friday, July 24, 2015


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha Baba wa Mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la nyumba  NHC Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Baba yake.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mkurugenzi wa Shirika la nyumba NHC Nehemia Mchechu nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam leo alipofika kwa ajili ya kwa kuaga mwili wa marehemu Baba yake. (Picha na OMR)

No comments: