Thursday, July 23, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA 10 YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata
utepe kuashiria kufungua
  rasmi Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea
kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es
Salaam. 
 Maonesho hayo yamefunguliwa
rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa mvumbuzi wa mashine ya kuchujia maji safi, Dkt.
Askwar Hilonga, wakati alipotembelea katika Banda la maonesho la Chuo Kikuu cha
Nelson Mandela, katika maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya
Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya
Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi
leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha, Atilio
Raphael (kushoto kwake) na William Sambera (kulia) kuhusu Kompyuta ya mezani
waliyoibuni maalum kwa ajili ya kufundishia somo la Kompyuta, wakati Makamu
alipotembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya 10 ya Sayansi ya
Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho
hayo yamefunguliwa rasmi leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha, William
Sambera (kulia) kuhusu Kompyuta ya mezani iliyobuniwa maalum kwa ajili ya
kufundishia somo la Kompyuta, wakati

Makamu alipotembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya 10 ya
Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye
Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es
Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akioneshwa
Plastiki zilizotengenezwa
  kwa kutumia
Mahindi kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuo cha The United African University Of
Tanzania (UAUT) Chang Kilee, wakati alipotembelea katika Banda la maonesho la
Chuo hicho katika Maonesho ya 10 ya
  Sayansi
ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho
hayo yamefunguliwa rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiangalia moja ya Mashine ya 3D Printer iliyobuniwa nchini Korea na
inayotumika kufundishia wanafunzi wa IT wa Chuo cha ‘The United African
University Of Tanzania’ (UAUT), wakati alipotembelea banda la maonesho la Chuo
hicho katika Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu,
nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya
Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Chuo hicho, Chang
Kilee, akimpa maelezo kuhusu Mashine hiyo. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi
leo. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE

No comments: