Friday, July 17, 2015

TREK 4 MANDELA WATEMBELEA SHULE YA SEOKONDARI DARAJANI ILIYOPO MARANGU

Timu ya watu 39 Wakiwemo wakurugenzi wa Taasisi na wakurugenzi kampuni mbalimbali za nchini Afrika Kusini walipotembelea shule ya sekondari ya Mazoezi Darajani iliyopo Marangu wilaya ya Moshi.
Baadhi ya wanafunzi katika shule ya sekondari ya Mazoezi Darajani iliyopo Marangu mkoani Kilimanjaro wakiwa darasani.
Wananfunzi katika shule ya sekondari Darajani wakiwa katika mkusanyiko tayari kupokea wageni waliotembelea shule hiyo.
Mhifadhi katika Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro,KINAPA ,Charles Ngendo akiwatambulisha wageni kutoka Afrika Kusini mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Darajani.
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa,TANZANIA,(TANAPA) Allan Kijazi akiwa na ugeni kutoka nchini Afrika kusini walipotembelea shule ya sekondari ya Darajani iliyopo Marangu.
Mkuu wa shule ya sekondari ya Darajani iliyopo Marangu,Mary Mlay akisoma taarifa ya shue hiyo mbele ya wageni waliotembelea shule hiyo.
Katibu Tawala wilaya ya Moshi,Remida Ibrahim akizungumza wakati ugeni wa timu ya watu 39 ulipotembelea shule ya sekondari Darajani kwa lengo la kusaidia kununua taulo maalumu za wasichana waliopo mashuleni pindi wawapo katika siku zao za Hedhi.
Mwanzilishi wa taasisi ya Imbumba Foundation ,Richard Mabaso ambaye taasisi yake inaratibu zoezi la upandaji Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za kusaidia kununua taulo maalumu kwa wasichana walio mashuleni.

No comments: