Sunday, July 26, 2015

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA

1
Brass Bendi ya Jeshi ikiingia kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuanza Maadhimisho.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO
23
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa (JWTZ) , Luteni Jenerali Samweli Ndomba akisalimiana na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli baada ya kuwasili viwanja vya mnazi mmoja.
4
Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho akiwasili.
5
Spika wa Bunge la Jamhuri Anne Makinda akiwasili.

No comments: