Wednesday, July 29, 2015

YALIYOJIRI MSIBA WA MAREHEMU MZEE JOHN EDWARD MCHECHU

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba  (NHC), Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Baba yake Mchechu. Kulia kwa Makamu wa Rais ni aliyewahi kuwa Waziri wa Sheria na Katiba, Harith Bakari Mwapachu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la nyumba  NHC Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Baba yake Mchechu.
Wakiuaga mwili wa Mzee John Edward Mchechu
 Aliyewahi kuwa Waziri wa Sheria na Katiba, Harith Bakari Mwapachu akiuaga mwili wa Mzee Mchechu.
Mama Mchechu akiuaga mwili wa Mzee Mchechu.
 Waziri wa Sheria na Katiba, Harith Bakari Mwapachu pamoja na Emmanuel Nchimbi wakiwa msibani.
 Mkurugenzi wa Shirika la nyumba  NHC Nehemia Mchechu akitoa neno la shukurani baada ya kuagwa mwili wa marehemu.

 Mdogo wa Marehemu akisoma 
 IGP Mstaafu, Said Mwema akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa; Rashid Othman wakifuatilia mwenendo wa mambo.

 IGP Mstaafu, Said Mwema akitoa salamu za mwisho
  Mkurugenzi wa Shirika la nyumba  NHC Nehemia Mchechu akiongoza kwenda kwenye kuhitimisha safari ya marehemu baba yake duniani katika kijiji cha Enzi, Muheza Tanga.
Jeneza likishushwa kaburini 


Makaburini kwenye kijiji cha Enzi Muheza, Tanga

No comments:

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...