![]() |
| Mtangaza nia ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha ,akiwa na meneja kampeni wake Voctor (kushoto kwake pamoja na Goodluck Moshi. |
![]() |
| Baadhi ya makada waliofika katika uwanja huo. |
![]() |
| Msanii wa filamu Tanzania Stephen Mengere maarufu kama Steve Nyerere alikuwa ni mmoja wa makada wa chama hicho waliofika kutoa hamasa katika mkutano huo uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa. |
![]() |
| Baadhi ya kina mama waliofika katika mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya vijana wakiwa na mabango yao waliofika katika mkutano huo. |
![]() |
| Wasanii wa Bongo Movie walipamba mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi wa Moshi mjini waliofika katika mkutano huo wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali. |
![]() |
| Kada wa Chama cha Mapinduzi,Octavian akimtambulisha mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha kwa wakazi wa Moshi waliofika katika uwanja wa Mashujaa. |
![]() |
| Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa mjini Moshi. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi waliofika katika mkutano huo. |
![]() |
| Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha akisalimiana na wakazi wa Moshi waliofika katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa. |
![]() |
| Davis Mosha akizungumza na waandishi wa habari marabaada ya mkutano wake wa kutangaza nia. |



















No comments:
Post a Comment