Sunday, July 19, 2015

HAYA SASA DIAMOND PLATNUMZ KABEBA TUZO NYINGINE YA (MTV MAMA) HUKO BONDENI

10644526_818552308166585_192534550673984326_o
Dogo kapasua hapa si mchezo kazi nzuri Diamond Platnumz.
10928190_961425663879248_3835932079240411409_n
Mwanamuziki Nguli Tanzania, Afrika na duniani Mtanzania Nasib Abdul Maarufu kama “Diamond Plutnamz” amebeba tuzo moja tayari katika tuzo za muziki za MTV AFRIKA MUSIC AWARD (MTV MAMA) ambazo zinaonyeshwa moja kwa moja kwenye luninga hiyo ya muziki ya MTV nchini Afrika Kusini  katika jiji la Durban  Kwazulu -Natal ambapo ameshinda kipengere cha Besta Live Act  MTV MAMA. Kikosi kizima cha Fullshangwe kinakupongeza n kwa mafanikio hayo na kinakutania kila mafanikio katika mwendelezo wa tuzo hizo.

No comments:

MIAKA 99 YA JESHI LA CHINA IWE CHACHU CHA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA ULINZI NA TANZANIA- DKT RHIMO NYANSAHO

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Chin...