Friday, July 03, 2015

RICHARD MGAMBA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI THE GUARDIAN LIMITED

 MWANDISHI wa habari mkongwe, ambaye amejishindia tuzo mbalimbali ikiwemo ile ya CNN, Richard Mgamba, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The Guardian Limited, na tayari amekwisha kabidhiwa "mikoba" na aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo, Bi.oyce Mhavile, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One. Mhavile alikuwa kikaimu nafasi hiyo, baada ya 
aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wake, Kiondo Mshana, kustaafu kwa mujibu wa sheria. Mara ya mwisho Mgamba akikjuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Citizen. Pichani Mgamba, akionyesha alama ya dole, ikiwa  ni ishara ya ushindi, baada ya kunyakua tuzo ya CNN mwaka 2008

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ahimiza Ushirikiano wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Uchaguzi kwa Amani na Usalama

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kuimarisha ushirikiano wa...