Friday, July 03, 2015

RICHARD MGAMBA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI THE GUARDIAN LIMITED

 MWANDISHI wa habari mkongwe, ambaye amejishindia tuzo mbalimbali ikiwemo ile ya CNN, Richard Mgamba, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The Guardian Limited, na tayari amekwisha kabidhiwa "mikoba" na aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo, Bi.oyce Mhavile, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One. Mhavile alikuwa kikaimu nafasi hiyo, baada ya 
aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wake, Kiondo Mshana, kustaafu kwa mujibu wa sheria. Mara ya mwisho Mgamba akikjuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Citizen. Pichani Mgamba, akionyesha alama ya dole, ikiwa  ni ishara ya ushindi, baada ya kunyakua tuzo ya CNN mwaka 2008

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...