Friday, July 10, 2015

BANK OF AFRICA YAFUTURISHA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Tanzania (BOA), Ammish Owusu Amoah akizungumza katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake na kufanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Tanzania (BOA), Ammish Owusu Amoah akizungumza
katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya
wateja wake na kufanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Bank Of Africa Tanzania (BAO), balozi Mwanaidi Maajar akizungumza wakati wa hafla iliyoandaliwa na benki ya BOA kwa ajili ya kufuturisha wateja wake katika hoteli ya Serena Dar es Salaam. 
 Wateja wa benki ya BOA wakipata futari katika hoteli ya Serena.
 Wafanyakazi wa BOA wakijumuika na wateja wa benki hiyo kupata futari.
 Wateja wa Bank Of Africa Tanzania wakipata futari.
 Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Tanzania (BOA), Ammish Owusu Amoah (katikati) akipata futari katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake.
Sehemu ya wateja waliofika katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na Bank Of Africa Tanzania kwa ajili ya wateja wake.

No comments: